Na Shufaa Lyimo
Wakazi wa mkoa wa Mwanza mpo? haya mashindano ya mikono kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, yanatarajia kufanyika Agast 25 mwaka huu yaha Rock City.
Akizungumza na Championi mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Samaal, Katibu wa chama cha mpira wa mikono nchini (TAHA) Saidi Omary, alisema kuwa mashindano hayo yatafanyika kwa muda wa wiki moja kwa lengo la kufuzu klabu bingwa ya Africa.
"Mwezi Agast kutafanyika mashindano ya kufuzu klabu bingwa Afrika, ambapo yatashirihisha klabu kutoka nchi 14" alisema Omary.
Said alizitaja nchini ambazo zilizothibitiosha kushiriki katika mashindano hayo kuwa ni Sudan, Comoro, Djibut, Somalia, Zanzibar, Tanzania Bara ,Uganda, Rwandwa, Kenya, Burundi na Zambia wakati Malawi, Zimbabwe, Mourisious bado hazijathibitisha ushiriki wao.
Sunday, January 6, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment