Merryliz ambaye ni mkereketwa wa Starz naye alikuwemo Uwanja wa Taifa kushuhudia jinsi Cameroon anavyosulubiwa, mikoni mwake ni mtoto wa Rafiki yake ambaye naye alikuwa akifuatilia mchzo huo kwa umakini wa hali ya juu.
Asikwambie mtu Wakameruni hawaakuamini